adsense


Magazeti UKAWA & Arusha, Magufuli & Mbowe, Kingunge kwa Lowassa?, Msigwa Mahakamani?#PowerBreakfast (Audio).







Korea Kusini ni moja ya Mataifa yaliyoendelea kiuchumi na raia wake hutumia masaa mengi zaidi kufanya kazi.
Utafiti uliofanywa na Shirikisho la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo OECD ulifanya uchunguzi na kugundua raia wa Korea Kusini hufanya kazi saa 2,163 kwa mwaka tofauti na raia wa Ujerumani ambao hutumia saa 1,388.
Kilichonifikia ni kwamba wafanyakazi katika ofisi mbalimbali katika mji mkuu wa nchini hiyo Seoul wamekuwa wakilipia pesa ya usingizi wakati wakipata chakula cha mchana ili kupunguza uchovu.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment